Monday, 7 March 2016

Tagged Under:

Mkutano wa Obama na Netanyahu wavunjika

By: Unknown On: 21:53
  • Share The Gag
  • Rais wa Marekani Barack Obama
    Ikulu ya Marekani imesema mkutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Rais Barack Obama wa Marekani umefutwa katika mazingira ya utata.
    Image copyright Getty
    Image caption Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
    Imeelezwa kuwa Netanyahu alitakiwa kukutana na me Rais Obama ndani ya mwezi huu.
    Msemaji wa Ikulu ya Rais Obama amesema kuwa wameshtushwa na hatua ya Netanyahu kuamua kukatisha ghafla ziara yake na kwamba taarifa hizo wamezisikia kupitia vyombo vya habari.
    Amesema kuwa madai ya kwamba mkutano huo umeshindikana kutoka na kukosekana kwa maandalizi si kweli.

    Chanzo BBC Swahili.

    0 comments:

    Post a Comment