Monday, 21 August 2017

Tagged Under:

Jenerali wa Jeshi Ateuliwa na Rais Magufuli Kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

By: Unknown On: 11:12
  • Share The Gag
  • Raisi John Magufuli leo August 21, 2017 amemteua Brigedia Jenerali John Julius Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

    Uteuzi wa Brigedia Jenerali John Julius Mbungo unaanza leo August 21, 2017.
     Credit;Mpekuzi Blog

    0 comments:

    Post a Comment