Raisi
John Magufuli leo August 21, 2017 amemteua Brigedia Jenerali John
Julius Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Uteuzi wa Brigedia Jenerali John Julius Mbungo unaanza leo August 21, 2017.
Uteuzi wa Brigedia Jenerali John Julius Mbungo unaanza leo August 21, 2017.


0 comments:
Post a Comment